[0:00]Yes, mjambo wandugu wapendwa habari yenu, habari ya siku ya leo. Mimi ni wenu Kolomboka, mwenyekiti mwenyewe, mfalme wa habari. ambaye nimekuwa hapa mbele ya uwanja wenu kabisa wa mapambano hapa kwenye Media TV kabisa. Nimekuwa hapa kwa muda huu nikiwapatia mambo ya siku ya leo butamu yenu kabisa nikiyaleta vizuri sana kabisa. hapa kwenye Kivu TV ambaye kabisa nimekuwa hapa tukiwa pamoja nanyi katika mambo yote. Na General muzalendo ngoma nzito, Pastore Bishop huyu ni Kalembe kabisa. Anaendelea kusi wazalendo wa wazalendo kabisa kuingia katika ma de kuacha vile ya. Donke kuacha vile kabisa ni lazima tena ni kitu ya lazima sana tena sana kabisa. kuacha vile ya mikono ya FARDC ili kwamba waende kuchunga de kule mbele kabisa. Na hapa itaonyesha wale wazalendo wabaya ambao wanakuwa wakipiga masasi ovyo ovyo. katika maeneo mbalimbali za nchi yetu ya Kidemokrasia ya Kongo. Kiongozi wa Twirwaneho wa Namaita Sematama ambaye kabisa. amesikilikana katika sauti yake mwenyewe akisema ya kwamba anasema ya kwamba. Na watu wao wanakuwa Rwanda na asili yote wanakuwa Rwanda na anasema ya kwamba Kongo ikipiga Rwanda nao wataendelea kusemea Rwanda kwenye hiyo yote ile. Sababu wana rekondi kama Rwanda ndio ilipandisha. Ndio yeye anasema vile yeye mwenyewe kabisa. Ule ambaye anajitaka kwamba yeye ni mkongomani. Anatukana nchi yetu mbaya sana. Anasema nchi ya Kongo haina askari, anasema nchi ya Kongo. haina haina disiplini, hawakupataga disiplini. Sasa wao wanasahau kitu kimoja kama. Kila kitu kiko na mwanzo na kiko na mwisho. Donke leo unaweza kusema mbaya nchi. kesho vile vile lakini siku moja utalia, utajiuta. Sababu gani ulisema mbaya nchi ya Kongo. Juu mimi najua kama kila kitu kiko na mwanzo na kiko na mwisho kabisa. Wandugu zangu wapendwa ambao mmekuwa pamoja nami kabisa kwa muda huu. Tunaendelea kuwaambia message ya mzee Ngomazito. Anasema ya kwamba wazalendo anajua kama kuna wazalendo wa na wazuri. Donke anasema ya kwamba kwa kujua kama wazalendo wa wazalendo. wako ndani ya mji wa uvira inabidi watoke hapa mjini uvira waende kule mbalimbali. Na hapa itakuwa mzuri sana wakati ambapo wazalendo wote wanaenda kule de Front. Tumemuona Ndugu Meshake kabisa. Yeye kuko de Front kabisa stand. Amepigana na adui mchana na usiku. Tunaona James naye iko kule. Hatujawaona majeshi ya Kashim John kule de Front. Hatujawaona majeshi ya kule de Front. Na wengine wengine wote tunataka nyote tuonane kule de Front ili kwamba tuzue adui kabisa. Na mimi niko hapa kule de Front. Tulikwenda wote kule de Front ili kwamba tupate kabisa. kuongea mambo yote wazi kabisa. Eh anatukana kabisa tunashukuru sana. Shambulio jipya na mapigano huko Bukavu, Raia kazaa walibebwa.
[4:55]mpori mpaka saa hii hatuyajua kabisa watu wako namna gani huko. Donke ni kusema vitu viko matata kabisa. Foundation ya anasema ya kwamba anataka kutoa wote faya. Na wa wote watakuwa na celebration ya journée yao ya Journée ni ambayo ina Congo. Tunaona wameitia vyapa, kuna maangua ambao watauza. ile yote kabisa watu wote ambao wanatumikia Kongo ama wanakuwa Kongo. Hawa wa wa wa kikongo ambao wa kikongo wanasema ya kwamba wanaanza kufanya celebration yao kabisa. Na vijana wao na wazee wao wote wamesimamia hii kitu kabisa. Na wote mahali pote wanapokuwa watafanya celebration 8 na hii kitu itakuwa nzuri sana kabisa. Hawa ambao wanasema kama wanasikilizana kabila yao haikosani hapa Kong hatuna vitu ya kusema kama watu hawasikilizani. Hii ni hatari kabisa. Ni kusema zetu zote zetu zote zinasikilizana na sikilizana Kongo. Ila tu moja ya ndio iko na problem ya kwenda jiunga na adui. Na kuingia kabisa kuleta mambo mabaya katika nchi yetu. Mudendezo ya vita Lwiro inaendelea kabisa kukuwa matata sana. Donke huku za Lwiro kabisa vitu mpaka hivi havijakuwa mzuri wasiwasi ingali mingi sana. Watu wengi wanaendelea kuniuliza wanaendelea kuniambia Lwiro iliishia wapi ama Lwiro inaendelea namna gani? Lakini tunamwambia kama Lwiro vitu vinaendelea kabisa kukuwa nguvu sana. Anife le groupe le groupe rebel M23 ansite persiste de rendre au gouvernement. environ 5000 elements FARDC qui sont restés à Goma et Bukavu, lorsque ils ont pris ces agglomération annoncés fete par la.
[8:00]Kisha a donné une réponse de nos de nos recevoir. infiltration à grande échelle des ennemis qui cherchaient infiltrer ces elements à Kinshasa. Donke M23 ilisema kwamba inatosha elements FARDC ambao walikamatwa hapa Goma. Aseme wanataka kuwarudisha Kinshasa. Wanataka kuwapatia FARDC huko Kinshasa. FARDC inasema hapana. Gavana inasema hapana, hawatake kama wale watu ni hapo kabisa. Est-ce que réellement kuna lema, kuna lema. utafiti ambao imefika utafiti ambao imefika. katika utafiti mkubwa sana. Bamekamatwa FARDC juu ya roho mwema. Wasema ni roho mwema inatuma Lakini ukiangalia mzuri ideologie na vitu vingine vyote. vishakuwa vya M23. Alors kama wanasema ni FARDC, wabakiye tu waje Kinshasa. Kama hivyo mambo yatakuwa pole pole na tutajuana. Sijui wewe unasema nini? Andika commentaire fanya share na itakuwa mzuri sana. Utupatie mawazo yako. Na hapo unaweza subscribe ndugu yangu unaiangalia video yetu uimalize. Na itakuwa kitu ya maana sana wakati yote ambao utakuwa pamoja nasi. Ili kwamba upate kutusaidia kabisa. Ruchuru et en combat en cours. Des affrontements sont en cours depuis les premières heures de la matinée de ce de cette journée dans le territoire de Ruchuru précisément dans les localités de Nguba, groupement Kihondo dans la chefferie de Buto.
[11:20]De tué sont attendu dans les villages de Kiringa et Buima où les s'opposent à rebelle de AFC M23. La chefferie de Buto déjà fragilisée par des déplacements massifs de population. Ces derniers mois risquent de connaître une nouvelle vague de mouvement de civil fuyant les violence. La situation reste tendue sur la terre sur le terrain et les habitants des zones concernent vivants dans la peur alors que les échangent de tueur se poursuivre. Donke kusema huku Ruto nako kabisa mapambano inaendelea. huku m m groupement ya Buito huku Ruto, groupement ya Buito na huku Kihondo. Kihondo kabisa msheferi ya Buito, groupement ya Kihondo ndio kwenye wanapigania hapa muvilagi ya Kiringa. na Buima. Ndio kwenye wanapigania. Population inaanza kukimbia sana tena sana huku huku Nord Kivu. Donke ni kusema vitu viko matata kabisa. Wazalendo wanasema mpaka wa Nord Kivu. Bien sûr wanasema kabisa mpaka Nord Kivu ikupelekwa siku chache kwa wakati kidogo. Na wanasema kabisa watafanya nguvu yote ili kwamba adui apate kukimbia mbali na nchi ya Kongo. Hawa ni wazalendo wa Nord Kivu ambao wao kabisa wameikala ku M23 hawami. Hawasemi kabisa. Na hapa ni kitu ya mzuri sana. Dominike anaendelea kusema ya kwamba majeshi yake imesimama vizuri.
[13:46]Donke ni kusema ni kitu ya maana sana kabisa tena sana tena sana kabisa.
[14:24]Wazalendo wanaendelea kabisa kukuwa wengi katika maeneo ya wanapigana pamoja na kabisa. Condamnation bombardement dans les zones de peuplé des localités de Kitundu et Rahura au Uvira par les éléments de groupe armée AFC M23, Redi Tabara, FNL, Alose, Sambapema. par de technicien spécial RDIF présent à Goma et appeler à la protection de civil. Mabombe zinatoka ngambo za Burgarama zinaenda mpaka huku ngambo za Plain de la Rusizi Mnembe huku. na imesemekana kama hawa technicien ndio kwenye wanabombarde maeneo mbalimbali zenye wazalendo wanakaa huko. Donke ndio walitumia drones kutoka Bukarama ndio kwenye walitumia. Na hapa inaleta kabisa matata kabisa. Donke kila kitu yote kinaendelea kuwa. Donke ndio wazalendo wanasema il faut sanctionner ile ma. kutembeza drone kilele ama mahanga ya Kongo inatoka nchi ingine. Iko kabisa binakuwa sanctionné. Ni kitu ya nguvu sana tena ni kitu ya danger. Ni hatari ya mkubwa kwani kulipata. L'armée Americaine vient d'être informée de la mesure prise par les président américaine sur de droit.



